Nikawa nawaza au kwasababu mechi imepewa jina la dube?😅 kaitia mkosi Mana Huwa Hana bahati na magoli, nikawaza au tatizo liko Kwa wachezaji pia?, Nikawaza au mbinu alizotumia kocha Bado hajawa na muunganiko mzuri na squad yake? Nikawaza au playing style ileile alotoa ibenge dhidi ya nabi ndo...