Search results

  1. F

    Ligi Kuu Ya NBC Inarejea , Una Jambo Gani La Kuwashauri Waamuzi?

    Hakika tulikuwa tumeisubiri kwa hamu sana ligi kwa wakati ambapo ilikuwa imesimama.... hivyo ni mafikirio yangu kwamba iwapo waamuzi wakisimama katika haki na kufuata kanuni na sheria za mpira hakika ligi itakuwa Bora zaidi na tutafurahia burudani na madavidavi mengi sana katika soka.