Hakika tulikuwa tumeisubiri kwa hamu sana ligi kwa wakati ambapo ilikuwa imesimama.... hivyo ni mafikirio yangu kwamba iwapo waamuzi wakisimama katika haki na kufuata kanuni na sheria za mpira hakika ligi itakuwa Bora zaidi na tutafurahia burudani na madavidavi mengi sana katika soka.