Search results

  1. V

    Ligi Kuu Thread

    KAMATI YAIPA USHINDI WA MEZANI NAMUNGO DHIDI YA MBEYA KWANZA KAMATI ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imeipa ushindi Namungo FC baada ya wapinzani, Mbeya Kwanza kugomea mechi ya Ligi Kuu Ijumaa Uwanja wa Ilulu mjini Lindi. Pamoja na hilo, Kamati imechukua...
  2. V

    Ligi Kuu Thread

    KICHUYA APIGA ZOTE MBILI NAMUNGO YAILAZA BIASHARA 2-1 NYAMAGANA NAMUNGO FC imewachapa wenyeji, Biashara United mabao 2-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Nyamagana Jijini Mwanza. Mabao ya Namungo FC yote yamefungwa na Shiza Ramadhani Kichuya dakika ya tisa na...
  3. V

    Liverpool Thread

    LIVERPOOL YAICHAPA SOUTHAMPTON 2-1 ST MARYโ€™S TIMU ya Liverpool imetoka nyuma na kushinda 2-1 dhidi ya wenyeji, Southampton katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa St Mary's . Southampton walitangulia na bao la Nathan Redmond dakika ya the 13, kabla ya Liverpool kuzinduka kwa mabao ya...
  4. V

    Arsenal Thread

    ARSENAL YACHAPWA 2-0 NA NEWCASTLE ST JAMESโ€™ PARK WENYEJI, Newcastle United wameibuka na ushindi wa 2-0 dhidi ya Arsenal katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa Jumatatu Uwanja wa Champions League bid in a buoyant 2-0 St James' Park, Newcastle upon Tyne. Mabao ya Newcastle United...
  5. V

    Simba Sports Club Thread

    SIMBA SC YAPIGWA FAINI MILIONI 23 KWA USHIRIKINA SHIRIKISHO la Soka Barani Afrika (CAF) limeipiga Klabu ya Simba faini ya dola za Kimarekani 10,000 zaidi ya Sh. Milioni 23.2 za Tanzania. Adhabu hiyo imetokana na Simba kufanya vitendo vya kishirikina kwenye ya marudiano Robo Fainali Kombe la...
  6. V

    Simba Sports Club Thread

    ๐“๐€๐€๐‘๐ˆ๐…๐€ ๐Š๐–๐€ ๐”๐Œ๐Œ๐€. #NguvuMoja
  7. V

    Yanga Thread

    YANGA YATOA SARE TENA, 0-0 NA PRISONS, MAYELE... WENYEJI, Yanga SC wamelazimishwa sare ya bila kufungana na Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara usiku huu Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam. Mshambuliaji Mkongo, Fiston Kalala Mayele atalala na mawazo leo baada...
  8. V

    CHELSEA

    CHELSEA YALAZIMISHWA SARE 2-2 NA WOLVES WENYEJI, Chelsea wamelazimishwa sare ya 2-2 na Wolverhampton Wanderers katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa Jumamosi Uwanja wa Stamford Bridge Jijini London. Mabao ya Chelsea yamefungwa na Romelu Lukaku kwa penalti dakika ya 56 na 58 akimalizia...
  9. V

    Ligi Kuu Thread

    COASTAL UNION YAICHAPA POLISI 1-0 MKWAKWANI WENYEJI, Coastal Union wameibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya Polisi Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Mkwakwani Jijini Tanga. Bao pekee la Coastal Union limefungwa na Abdul Suleiman โ€˜Sopuโ€™ dakika ya 21 na kwa...
  10. V

    Arsenal Thread

    ARSENAL YAICHAPA LEEDS UNITED 2-1 EMIRATES WENYEJI, Arsenal wameibuka na wa 2-1 dhidi ya Leeds United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Emirates Jijini London. Mabao yote ya Arsenal yamefungwa na Eddie Nketiah dakika ya tano na ya 10, wakati la Leeds limefungwa na Diego Llorente...
  11. V

    Manchester City Thread

    MAN CITY YAITANDIKA NEWCASTLE UNITED 5-0 ETIHAD WENYEJI, Manchester City wamepiga hatua moja mbele kwenye mbio za ubingwa wa Ligi Kuu ya England baada ya ushindi wa 3-0 dhidi ya Newcastle United leo Uwanja wa Etihad, Manchester. Mabao ya Man City yamefungwa na Raheem Sterling mawili, dakika...
  12. V

    Simba Sports Club Thread

    SIMBA SC YAITANDIKA RUVU SHOOTING 4-1 DAR MABINGWA watetezi, Simba SC wameibuka na ushindi wa 4-1 dhidi ya Ruvu Shooting katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara usiku huu Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam. Mabao ya Simba yamefungwa na Kibu Dennis dakika ya 39, Rally Bwalya dakika...
  13. V

    Ligi Kuu Thread

    RASMI, DTB NI TIMU YA LIGI KUU MSIMU UJAO SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limeithibitisha klabu ya DTB ya Dar es Salaam kupanda Ligi Kuu ya Tanzania Bara msimu unaitwa, 2022-2023. Hiyo ni baada ya DTB kufikisha pointi 65 kileleni mwa Championship, tatu zaidi ya Ihefu inayofuatia na nane...
  14. V

    Ligi Kuu Thread

    KAYOKO KUCHEZESHA PAMBANO LA WATANI JUMAMOSI REFA Ramadhani Kayoko ndiye atakayepuliza kipyenga kwenye mechi ya watani wa jadi, Simba na Yanga Jumamosi Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam. Kayoko atasaidiwa na Frank Kombe, wote wa Dar es Salaam na Mohamed Mkono wa Tanga.
  15. V

    Yanga Thread

    BASHUNGWA MGENI RASMI MECHI YA WATANI, MANARA MWANACHAMA YANGA WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais (TAMISEMI), Innocent Bashungwa ndiye atakuwa mgeni rasmi kwenye mchezo wa watani wa jadi, Simba na Yanga Jumamosi Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Wakati huo huo, Msemaji wa Yanga, Haji...
  16. V

    Manchester United

    MAN UNITED SARE 1-1 NA CHELSEA OLD TRAFFORD WENYEJI, Manchester United wamelazimishwa sare ya 1-1 na Chelsea katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa Alhamisi Uwanja wa Old Trafford Jijini Manchester. Chelsea ilitangulia kwa bao la Marcos Alonso dakika ya 60 akimalizia pasi ya Kai...
  17. V

    USAJILI.

    Klabu ya Fc Bayern Munich ipo mbioni kulipa kiasi cha โ‚ฌ300k (Tsh. 764m) ili kumsaini mshambuliaji wa Borussia Mรถnchengladbach Mike Wisdom mwenye umri wa miaka 13. Mike atajiunga na Bayern U15
  18. V

    KIMATAIFA

    FULL TIME Portugal 3-1 Turkey Wales 2-1 Austria Italy 0-1 North Macedonia Rasmi Italy ametolewa kwenye mbio za kufuzu kombe la dunia 2022. #WCQ2022
  19. V

    KIMATAIFA

    FULL TIME Uruguay 1-0 Peru 42' De Arrascaeta Uruguay wamefuzu Kombe la Dunia 2022, umri ni namba tu, Luis Suรกrez (35) pamoja na Edinson Cavani (35) wamebahatika kushiriki tena mashindano makubwa duniani...
  20. V

    KIMATAIFA

    FULL TIME Brazil 4-0 Chile 44' Neymar (P) 45+1' Vinicius Jr 72' Coutinho (P) 90+1' Richarlison =AZVl4BC6E8Ewx5w44-n_3DJuMGbKua8eCmJAnscSEPkvLTCsOXzNw7QJIwYcaPojLdb4maaAiUczdVm0JJYo7lc2O7nHZHuj7lu9bvBSPcSA5Srw7TrWrSEnnNEPJD9z26ViSw89Ki1efYh_XyQyNe1Y&__tn__=*NK-R']#WCQ2022...