Search results

  1. V

    KIMATAIFA

    Kocha Herve Renard (53) raia wa Ufaransa 2012: Bingwa wa AFCON akiwa na Zambia 2015: Bingwa wa AFCON akiwa na Ivory Coast 2018: Alifuzu Kombe la Dunia akiwa na Morocco 2022: Amefuzu Kombe la Dunia akiwa na Saudi Arabia...
  2. V

    AFCON Thread

    Thomas Partey ataongoza timu ya Taifa ya Ghana kama nahodha katika mechi mbili za kutafuta tiketi ya kufuzu Kombe la dunia 2022 dhidi ya Nigeria kutokana na Andre Ayew kushindwa kucheza mechi hizo kwasababu ya kadi nyekundu aliyoipata dhidi ya Comoros kwenye mechi ya AFCON 2021 nchini...
  3. V

    Manchester United

    Mshambuliaji wa klabu ya Man United U18 Alejandro Garnacho (17) akiwa kambini na timu ya Taifa ya Argentina Kinda huyo hajapandishwa kwenye kikosi cha wakubwa cha Man Utd lakini tayari ameitwa kwenye timu ya Taifa Alejandro mwenye asili ya Argentina amezaliwa jijini Madrid, Hispania na kuanzia...
  4. V

    AFCON Thread

    Senegal walishawasili nchini Egypt tayari kwa mchezo wa mzunguko wa kwanza wa hatua ya mtoano wa kuwania tiketi ya kushiriki Kombe la Dunia 2022 leo Machi 25 saa 4:30 usiku
  5. V

    AFCON Thread

    FULL TIME Mozambique 1-1 Niger 63' Adebayor Victorien 83' Gildo Vilanculos =AZXuiFZ-oEg4xPM3y3GxgTCzi0CS2gFmQBdcthfc8cdDTY98p-Yu8jYffOrp8fFawBmE5yj1bSFrqWrHFswmPKDhvkb8IpejNsAfiolbAow8ap9VBUQGAbknBVHY0yhLBqwyllsQnliJXJAsXEcQq4dh&__tn__=*NK-R']#FriendlyMatch...
  6. V

    AFCON Thread

    Kwa mara ya kwanza Mshambuliaji wa RB Leipzig Ademola Lookman (24) ambaye anakipiga Leicester City kwa Mkopo amefanya mazoezi na kikosi cha timu ya Taifa ya Nigeria kinachojiandaa na mchezo wa kufuzu Kombe la dunia 2022 dhidi ya Ghana Awali Lookman alikuwa akiitumikia England...
  7. V

    Ligi Kuu Thread

    DODOMA JIJI YAICHAPA MBEYA KWANZA 2-0 JAMHURI WENYEJI, Dodoma Jiji FC wameibuka na ushindi wa 2-0 dhidi ya Mbeya Kwanza katika mchezo wa Ligi ya Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma. Mabao ya Dodoma Jiji FC yamefungwa na Joram Mgeveke dakika ya 26 na Anuary Jabir dakika ya...
  8. V

    Ligi Kuu Thread

    KAGERA YAICHAPA MBEYA CITY 1-0 SOKOINE BAO pekee la Hassan Mwaterema dakika ya 20 limeipa Kagera Sugar ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Mbeya City leo Uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya. Kwa ushindi huo, Kagera Sugar inafikisha pointi 24 na kupanda kwa nafasi tatu hadi ya sita,ikizidiwa pointi moja...
  9. V

    Ligi Kuu Thread

    RUVU YAITANDIKA COASTAL 3-1 MKWAKWANI WENYEJI, Coastal Union wamechapwa mabao 3-1 na Ruvu Shooting katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Mkwakwani Jijini Tanga. Mabao ya Ruvu Shooting leo yamefungwa na Pius Buswita dakika ya 19, Haroun Chanongo dakika ya 31 na Samson...
  10. V

    Liverpool Thread

    LIVEROOOL YAICHAPA BRIGHTON 2-0 UGENINI TIMU ya Liverpool jana imepata ushindi wa ugenini wa 2-0 dhidi ya Brighton & Hove Albion katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa The AMEX. Mabao ya Liverpool yalifungwa na Luis Diaz dakika ya 19 na Mohamed Salah kwa penalti dakika ya 61 baada ya...
  11. V

    Kombe la Shirikisho barani Afrika

    Ibenge Aihofia Simba Kwa Mkapa KOCHA wa RS Berkane ya Morocco, Florent Ibengé amesema kuwa mpira wa Simba wanapokuwa katika uwanja wao wa nyumbani ni kikwazo kuelekea katika mchezo wao wa marudiano wa michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika. Simba wanatarajiwa kuwakaribisha RS Berkae katika...
  12. V

    Yanga Thread

    Makipa Yanga wamweka mtu kati Manula. Yanga imeendelea kuweka rekodi nyingine ya ubora ikitoa makipa bora wawili katika makipa ambao lango lao lipo salama. Katika takwimu ambazo zimetoka Bodi ya Ligi Kuu zinaonyesha kipa wa Yanga Diara Djigui na Aishi Manula wa Simba kwasasa wako katika nafasi...
  13. V

    Arsenal Thread

    Mavitu ya Saka, Odegaard yampagawisha Fabregas LONDON ENGLAND. NAHODHA wa zamani wa Arsenal, kiungo fundi wa mpira wa Kihispaniola, Cesc Fabregas amesema Bukayo Saka na Martin Odegaard ndiyo silaha ya sasa na ya baadaye ya wababe hao wa Emirates baada ya kile walichowafanya Watford kwenye...
  14. V

    Ligi Kuu Thread

    MSIMAMO WA LIGI KUU BAADA YA MICHEZO 17
  15. V

    Ajax yakaribishwa Tanzania

    Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Damas Ndumbaro amefanya mazungumzo na uongozi wa klabu ya Soka ya Ajax ya Uholanzi ili itangaze vivutio vya utalii vya Tanzania kupitia matangazo ya jezi na mbao za matangazo (billboards) uwanjani. D. Ndumbaro amebainisha hayo leo alipokutana na kufanya...
  16. V

    Simba Sports Club Thread

    Simba vinara wa kukosa penalti Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara Simba ,imeingia katika takwimu ngumu wakiwa ndio timu inayoongoza kwa kukosa penalti. Mpaka sasa Simba imekosa jumla ya penalti 5 huku tatu kati ya hizo wakikosa washambuliaji wao watatu. Nahodha wa Simba John Bocco pamoja na...
  17. V

    Yanga Thread

    MJUAJI: Kisa cha Yanga kupasuka 1976 WAJUAJI tu ndio tunaolijua hili. Klabu ya Young Africans (Yanga) ilipasuka vipande viwili 1976. Kisa na mkasa kilianza 1968. Mwaka huo Mwenyekiti wa Yanga, Kondo Kipwata alimwachia uongozi kwa hiari Mwenyekiti mpya, Mangala Tabu. Sababu ya kumwachia. Alikuwa...
  18. V

    Simba Sports Club Thread

    Straika Simba Atimkia Uturuki STRAIKA na kinara wa mabao wa Simba Queens, Opah Clement, usiku Machi 4 alipaa kwenda nchini Uturuki kwa ajili ya kujiunga na timu ya Yikatel Kayseri inayoshiriki Ligi Kuu ya Wanawake nchini humo. Meneja wa kikosi hicho, Selemani Makanya, amelithibitishia Championi...
  19. V

    Liverpool Thread

    MANE AIFUNGIA BAO PEKEE LIVERPOOL YASHINDA 1-0 BAO pekee la mshambuliaji Msenegal, Sadio Mane dakika ya 27, limeipa Liverpool ushindi wa 1-0 dhidi ya West Ham United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku huu Uwanja wa Anfield. Liverpool inafikisha pointi 63, ingawa inabaki nafasi ya pili...
  20. V

    Yanga Thread

    #TBT ZILITRENDI: Micho awatimua makomandoo Yanga miaka ya nyuma na leo tunaenda hadi Machi 3, lakini mwaka 2007. Siku hiyo buana iliripotiwa tukio la aliyekuwa Kocha Mkuu Mpya wa Yanga, Sredejovich Milutin ‘Micho’ kuamua kuwatimua makomandoo wa klabu hiyo. Micho anafahamika kwa misimamo yake...