Search results

  1. V

    Yanga Thread

    Yanga wana jambo, Msikie Senzo YANGA imebakiza dakika 90 dhidi ya Mtibwa kumaliza mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu Bara ambazo wamepania kumaliza kwa kishindo. Kocha wa Yanga, Nesreddine Nabi ameangalia rekodi zao na Mtibwa akabadilisha ghafla programu za mazoezi ambapo sasa zimefanana na zile za...
  2. V

    PSG

    He! Eti Messi chanzo Mbappe kuondoka PARIS, UFARANSA. USAJILI wa supastaa Lionel Messi huko Paris Saint-Germain umeripotiwa kuchochea uamuzi wa Kylian Mbappe kutaka kuachana na miamba hiyo ya Ligue 1, ripoti kutoka Ufaransa zimeeleza. Bao la dakika za majeruhi la Mbappe lilifanya PSG kupata...
  3. V

    Manchester United

    Mtoko wa Pochettino utakuwa balaa kubwa United MANCHESTER, ENGLAND. MANCHESTER United inajiandaa kufanya mabadiliko makubwa kwenye dirisha lijalo la uhamisho wa majira ya kiangazi kwa ajili ya kuunda kikosi cha kazi cha msimu ujao. Kocha wa kipindi cha mpito, Ralf Rangnick anajiandaa...
  4. V

    UEFA Champions League

    Mourinho Aiponda PSG vs Madrid. JOSE Mourinho, Kocha wa AS Roma, amesema hakufurahishwa na mchezao kati ya PSG dhidi ya Real Madrid, huku akidai kwamba hajamisi kuwa ndani ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. Mourinho kwa sasa anainoa Roma ambayo haipo kwenye michuano hiyo, huku ikishiriki...
  5. V

    Yanga Thread

    Yanga Ina Presha ya Ubingwa NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga, amesema kuna presha kubwa katika kusaka ushindi uwanjani ambao utawapa ubingwa kutokana na kila timu kupiga hesabu za kuifunga Yanga. Yanga ni vinara wa Ligi Kuu Bara wakiwa na pointi 36 kibindoni baada ya kucheza mechi 14, ndani...
  6. V

    AZAM SC

    Kumbe Azam Fc Bado Sana AZAM inakamata nafasi ya tatu kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara lakini kocha wake, Abdi Hamid Moalin, amesema bado hajaipata Azam anayoitaka na ubora wa kikosi chake kwa sasa hauzidi asilimia 65. Moalin amefunguka kuwa kuna levo ya ubora ambayo anahitaji kuiona kwenye timu...
  7. V

    Yanga Thread

    Pointi 5 zaipa Kiburi Yanga Kusepa na Ubingwa. MABINGWA mara 27 wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga wameweka wazi kuwa pointi 5 ambazo wamewapita wapinzani wao Simba ni nyingi na zinawapa nguvu ya kuweza kutwaa ubingwa. Yanga wanaongoza ligi wakiwa na pointi 36 baada ya kucheza mechi 14 huku...
  8. V

    Simba Sports Club Thread

    Simba kuwaweka kikao Bwalya, Chama. SELEMAN Matola, Kocha Msaidizi wa Simba, amesema kuwa watafanya kazi kubwa kwa wapigaji mipira iliyokufa ambayo wanaipata katika mechi ambazo wanacheza. Akizungumza na Championi Jumamosi, Matola alisema kuwa tatizo la kushindwa kupata matokeo mazuri lina...
  9. V

    Yanga Thread

    Nabi Amuandaa Djuma Kuwamaliza Mtibwa Sugar. RASMI beki wa pembeni wa Yanga, Mkongomani, Djuma Shaban ataanza kuonekana katika mchezo dhidi ya Mtibwa Sugar ya Morogoro ikiwa ni baada ya kumaliza adhabu yake ya kufungiwa mechi tatu. Mkongomani huyo hivi karibuni alisimamishwa kucheza michezo...
  10. V

    Ligi Kuu Thread

    Lusajo: Nitampoteza Mayele. KINARA wa wafungaji kwenye Ligi Kuu Bara mpaka sasa, Reliants Lusajo, amemtangazia vita mpinzani wake mkubwa katika vita ya ufungaji bora msimu huu, Fiston Mayele akisema amejipanga kuendelea kutupia mabao kwa kila nafasi atakayoipata. Lusajo ambaye ni nahodha wa...
  11. V

    Yanga Thread

    Nabi aja na mbadala wa Mayele. KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi, amemuangalia mshambuliaji wake Fiston Mayele akipaniwa na kutolewa macho na mabeki wa timu pinzani, haraka amechukua maamuzi magumu ya kumuingiza kikosini Chico Ushindi. Hiyo ikiwa ni siku chache tangu Mayele kutamka kuwa...
  12. V

    Yanga Thread

    Kocha Yanga Awasifu Makipa Wake “Wote Wako Vizuri. KOCHA wa Makipa wa Yanga, Mikton Nienov amewasifu makipa wake, Djigui Diarra, Aboutwaleb Mshery na Erick Johora wotw kwa pamoja wanafanya vizuri na kuisaidia timu yao. “Namshukuru Mungu kwa timu yetu kuwa na walinda milango mahiri ambao...
  13. V

    Ligi Kuu Thread

    Biashara Kufa na Kupona kwa Yanga. KOCHA Mkuu wa Biashara United ya Mara, Vibier Bahati ameweka wazi kuwa watacheza kwa kufa na kupona kwenye mechi yao ya Kombe la Shirikisho dhidi ya Yanga kwa ajili ya kupata matokeo. Biashara watakuwa ugenini kwenye mechi hiyo itakayochezwa Uwanja wa Mkapa...
  14. V

    Kombe la Shirikisho barani Afrika

    Simba, ASEC kitapigwa sana. ASEC Mimosas ya Ivory Coast, tayari imeshatua jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuvaana na Simba katika pambano la kwanza la Kundi D, huku Kocha Mkuu wa Wekundu wa Msimbazi, Pablo Franco akiweka jeshi lake vizuri kwa mchezo huo. Timu hizo zinakutana kwa mara ya...
  15. V

    Simba Sports Club Thread

    Simba Yaanika Siri za Kuwaua Asec Mimosas. UONGOZI wa Simba umesema kuwa hauna hofu kuelekea mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Asec Mimosas ya Ivory Coast kesho Jumapili kutokana na maandalizi waliyoyafanya huku ukitoa onyo kali kwa wapinzani wao. Simba inatarajiwa kuvaana na Asec...
  16. V

    Yanga Thread

    Yanga Washtukia, Wamuonya Mayele. MABOSI wa Yanga ni kama wameshtukia vile, unaambiwa juzi walimuita straika wao Fiston Mayele kufanya naye kikao na kumuonya kuhusu suala la kuzungumza na waamuzi pamoja na kupunguza jazba kila anapokuwepo uwanjani. Hiyo ni kutokana hofu ya kutafutiwa kadi za...
  17. V

    Simba Sports Club Thread

    Mo Awawekea Sh 200Mil Mastaa Wakiifunga Asec. KATIKA kuhakikisha wanapata ushindi wa kwanza nyumbani dhidi ya Asec Mimosas ya nchini Ivory Coast katika mchezo wa kwanza wa makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika, Rais wa Heshima wa Simba, bilionea Mohamed Dewji ‘Mo’, ameahidi kuwapa bonasi nzuri...
  18. V

    Simba Sports Club Thread

    Morrison aomba radhi, Simba wakausha. STAA wa Simba, Bernard Morrison ametuma ujumbe kwenye kundi la WhatsApp la wachezaji wa timu hiyo na kufowadi vilevile kwa viongozi akiomba radhi kwa kilichotokea. “Naomba mnisamehe jamani. Nimekosa,” alisema Morrison kwa lugha ya Kiswahili. Siku moja kabla...
  19. V

    Ligi Kuu Thread

    UBISHI WA MZEE WA KALIUA: Kiiza 'Diego' niliyemuona Taifa zamani na Kaitaba juzi. TAKRIBANI miaka 11 iliyopita, nilikuwa juu ya kiti katikati ya mashabiki wastaarabu wa jukwaa kuu Uwanja wa Taifa (sasa Uwanja wa Mkapa) nikitazama mechi ya kirafiki kati ya Yanga na URA ya Uganda. Licha ya kwamba...
  20. V

    Ligi Kuu Thread

    Kaseja: Silogi mtu ni uwezo tu. MIAKA 20 kwenye Ligi Kuu Bara, Juma Kaseja anajua siri nyingi za soka la Bongo na utamdanganya nini kuhusu mpira wa nchi hii? Huyu ni gwiji. Tanzania One, Mikono Mia, mfano wa kuigwa, kipenzi cha wengi ni kati ya sifa nyingi ambazo amekuwa akipambwa nazo supastaa...