Search results

  1. V

    Simba Sports Club Thread

    SIMBA YAMSIMAMISHA MORRISON KWA UTOVU WA NIDHAMU. KLABU ya Simba imemsimamisha winga wake Mghana, Bernard Morrison kwa muda usiojulikana kutokana na utovu wa nidhamu ikiwemo kutoka kambini bila ruhusa.
  2. V

    Ligi Kuu Thread

    AZAM FC YAJISOGEZA NYUMA KABISA YA SIMBA. WENYEJI, Azam FC wameibuka na ushindi wa 2-0 dhidi ya Dodoma Jiji FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara usiku huu Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam. Mabao ya Azam FC yamefungwa na washambuliaji wake wa kigeni...
  3. V

    Simba Sports Club Thread

    Banda Aandaliwa Kuwamaliza Waivory Coast. SIMBA imeweka wazi kuwa mara baada ya kiungo mshambuliaji wao, Peter Banda kurejea nchini akitokea Cameroon alipokuwa na kibarua cha kuiwakilisha Malawi kwenye mashindano ya Afcon, moja kwa moja atajiunga na programu za maandalizi ya michezo ijayo...
  4. V

    AZAM SC

    Dube: Nimerudi Kuwafungia Mabao Azam FC. BAADA ya kupitia kipindi kigumu cha kuandamwa na majeraha, hatimaye straika wa Azam FC, Prince Dube, amesema kuwa kwa sasa yupo fiti, anataka kupambana na kuifungia mabao mengi timu yake. Dube amesema msimu uliopita alipishana na kiatu cha ufungaji bora...
  5. V

    AFCON Thread

    NI MISRI YA SALAH NA SENEGAL YA MANE FAINALI AFCON 2021. TIMU ya taifa ya Misri imefanikiwa kwenda Fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika baada ya ushindi wa penalti 3-1 kufuatia sare ya bila kufungana na wenyeji, Cameroon ndani ya dakika ya 120 usiku wa Alhamisi Uwanja wa Paul Biya Jijini...
  6. V

    AZAM FC YAENDELEA KUTAMBA KATIKA SOKA YA VIJANA.

    TIMU ya Azam FC U-20 imefanikiwa kutwaa ubingwa wa michuano maalum ya vijana (U-20 Tournament 2022), baada ya kuichapa JKT Tanzania U-20 mabao 4-3 usiku wa Jumatano Uwanja wa JMK Park, Dar es Salaam. Huo ni ubingwa wa pili kwa kikosi hicho ndani ya miezi miwili, baada ya Desemba mwaka jana...
  7. V

    AFCON Thread

    SADIO MANE AIPELEKA SENEGAL FAINALI AFCON. TIMU ya taifa ya Senegal imefanikiwa kwenda Fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika baada ya kuichapa Burkina Faso 3-1 katika mchezo wa Nusu Fainali usiku wa Jumatano Uwanja wa Ahmadou Ahidjo Jijini YaoundΓ© nchini Cameroon. Mabao ya Senegal yamefungwa na...
  8. V

    Ligi Kuu Thread

    Azam ya Moallin unapigwa na yeyote. KAMA unadhani kuwazuia washambuliaji wa Azam wasipate bao utakuwa umefanikiwa sahau! Maana unaambiwa mikakati mipya ya kocha mkuu wa kikosi hicho, Abdihamid Moallin ni kuona kila mchezaji anafunga mabao. Moallin alisema kuwa wachezaji aliokuwa nao wana uwezo...
  9. V

    Simba Sports Club Thread

    Wawa afunguka shangilia yake. BEKI Pascal Wawa wa Simba juzi Jumapili alifunga bao lakini kilichovutia ni namna alivyoshangilia kitofauti na wenzake wote baada ya kwenda moja kwa moja kwa Henock Inonga β€˜Varane’ na kumkumbatia kisha alipita kwenye benchi zima la timu yake na kuwapa mkono. Wawa...
  10. V

    Yanga Thread

    Mwenye Y anga yake karudi, Fei Toto nje mwezi. SIKIA hii. Mshindani mkubwa wa Aishi Manula wa Simba ni Djigui Diarra wa Yanga anayerejea leo Jijini Dar es Salaam akitokea kwenye Afcon ambako timu yake ya Mali ilitolewa hatua ya 16 Bora. Tangu Diarra aende Afcon, Aishi amecheza mechi nne na...
  11. V

    Ligi Kuu Thread

    JICHO LA MWEWE: Mapokezi ya wakubwa mikoani na hatima ya 'Leeds' wetu. MAISHA yanahama na mbwembwe zake. Siku hizi imezuka fasheni ambayo zamani haikuwepo. Wakubwa wa soka letu wamekuwa wakipokewa kwa mbwembwe nyingi wanapokwenda mikoani. Zamani wakubwa walikuwa wanaingia kimya kimya. Labda kwa...
  12. V

    AFCON Thread

    Mechi za nusu fainali AFCON. Nani atatinga fainali?
  13. V

    Yanga Thread

    Zoezi la Usajili Mkoani π—žπ—”π—šπ—˜π—₯𝗔 linaendelea kwa kasi kwenye Ukumbi wa π—Ÿπ—œπ—‘π—”π—¦ Bukoba mjini. Njoo Ujisajili Kidigitali na kupata Elimu juu ya faida za kuwa Mwanachama wa Young Africans Sc. Aidha Usajili wa Wanachama unaendelea katika Mikoa yote Tanzania tembelea Tawi la Young Africans Sc Karibu yako...
  14. V

    Ligi Kuu Thread

    Prisons: Tupo Tayari Kuwakabili Simba. KOCHA Msaidizi wa Tanzania Prisons, Shaban Kazumba, amebainisha kuwa kwa sasa wamewekeza nguvu na umakini kwenye mchezo unaofuata dhidi ya Simba ili kuhakikisha wanapata ushindi na kujitoa kwenye nafasi ya mwisho ya msimamo wa Ligi Kuu Bara. Mchezo huo wa...
  15. V

    Simba Sports Club Thread

    Pablo Aitisha Kikao ghafla Juzi Simba. UNAAMBIWA muda mfupi baada ya Simba kuibuka na ushindi wa mabao 6-0 dhidi ya Dar City, Kocha Mkuu wa Simba raia wa Hispania, Pablo Franco, ameitisha kikao ghafla Juzi Simba iliibuka na ushindi huo mnono katika mchezo wa hatua ya 32 bora ya Kombe la...
  16. V

    Simba Sports Club Thread

    Pablo apiga kijembe Yanga. KAMA ulikuwa unaamini Simba imesalimu amri kwenye mbio za ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu huu, basi pole yako, kwani wenyewe wamesisitiza bado wamo sana na hii inatokana na jeuri ya mechi zilizosalia kabla ya msimu haujamalizika. Watetezi hao wanashika nafasi ya pili...
  17. V

    Yanga Thread

    Yanga bado kidogo tu. WANACHAMA na mashabiki wa Yanga wanaendelea kuchekelea mafanikio ya timu yao ndani ya msimu huu, lakini sasa wameongezewa mzuka baada ya mabosi wa klabu hiyo kuwapa taarifa kwamba Yanga ya kisasa bado kidogo tu. Yanga ipo kwenye mchakato wa klabu yao kuendeshwa kisasa kwa...
  18. V

    Yanga Thread

    Yacouba amerudi, aitaka namba yake. HABARI ya mjini sasa kwa upande wa soka ni straika wa Yanga, Fiston Mayele ambaye amekuwa mwiba kwa mabeki na makipa wa timu pinzani, kumbe moto huo umemshtua hadi Yacouba Songne ambaye ameukubali mziki huo, ila amepiga mkwara. Mayele ameibuka shujaa juzi...
  19. V

    Simba Sports Club Thread

    Matawi Simba yacharuka. KLABU ya Simba imetumia zaidi ya saa tatu kujadili mwenendo mbovu wa timu yao kwenye Ligi Kuu, kisha kuchimba mkwara mzito wakitaka mambo yabadilike ili kuweza kula sahani moja na watani wao, Yanga inayoongoza msimamo. Simba imeachwa kwa pointi 10 na Yanga licha ya kila...
  20. V

    Simba Sports Club Thread

    CAF yairuhusu Simba mashabiki 35, 000. SHIRIKISHO la Soka Barani Afrika (CAF) limeruhusu mashabiki 35, 000 kuhudhuria mchezo wa kwanza hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika kati ya Simba dhidi ya ASEC Mimosas ya Ivory Coast utakaopigwa Februari 13 katika Uwanja wa Benjamin Mkapa...