Nkane, Mshery Kutibua Usajili wa Nabi Yanga.
KOCHA Mkuu wa Yanga, raia wa Tunisia, Nasreddine Nabi, amenogewa na ubora wa wachezaji wazawa aliowasajili katika dirisha dogo huku akipanga kusimamisha usajili wa nyota wa kigeni katika msimu ujao.
Baadhi ya wachezaji wazawa waliosajiliwa katika...