Search results

  1. Kijiweni

    Miaka 90 Ya Yanga SC | Mwananchi Wa KIJIWENI Kitu Gani Kilikufanya Ukanipenda Na Kuishabikia Yanga?

    Tarehe 11/02/1935 klabu ya Wananchi Kutoka mitaa ya Twiga na Jangwani Yanga Ilianzishwa. Leo Tarehe 11/02/2025 imetimiza miaka 90 Toka kuanzishwa kwake Kwa WANANCHI Wa Kijiweni kitu Gani kilikufanya ukanipenda na kuishabikia Yanga?
  2. Kijiweni

    Mkeka Wa Leo Jumanne 11/02/2025 Mkeka Wa Magoli Ya Over 1.5 Pekee

    Time Matches Tips 17:00 11/02/2025 EGY Pharco Zamalek Over 1.5 20:00 11/02/2025 EGY Al Ahly Ghazl El Mahallah Over 1.5 22:30 11/02/2025 EPL Everton Liverpool Over 1.5 22:45 11/02/2025 ENG 1 Bristol Rovers Stockport County Over 1.5 22:45 11/02/2025 ENG 1 Birmingham Cambridge Utd Over...
  3. Kijiweni

    FT : JKT Tanzania 0 Yanga SC 0 | Umeuonaje Mchezo Wa Leo Mwana Kijiweni?

    Mchezo wa ligi kuu ya NBC kati ya JKT Tanzania dhidi ya Yanga uliochezwa katika uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo Umemalizika kwa suluhu Umeuonaje Mchezo Wa Leo Mwana Kijiweni?
  4. Kijiweni

    TABIRI MATOKEO Na IDADI YA MAGOLI Leo JKT Tanzania vs Yanga | Meja Generali Isamuhyo stadium | Ligi Kuu NBC | 10.2.2025

    Mabingwa wa muda wote wa ligi ya Tanzania Bara, Mabingwa watetezi wa ligi kuu msimu huu na vinara wa ligi YOUNG AFRICANS SC watashuka dimbani leo majira ya saa 10 za jioni ugenini kuwakabili JKT TANZANIA katika dimba la Meja Jenerali Isamhyo. Je, Yanga kuendelea kujichimbia kileleni wa msimamo...
  5. Kijiweni

    Mkeka Wa Leo Jumatatu 10/02/2025 Mechi 7 Pekee

    Date Matches Tip 21:00 10/02 TUR Trabzonspor - Eyupspor 1X 21:30 10/02 ISR Maccabi Haifa - Hapoel Haifa 1 22:00 10/02 NED Jong PSV - Cambuur 2 22:30 10/02 SPA R. Oviedo - Eldense 1 22:45 10/02 ITA Inter - Fiorentina 1 23:00 10/02 SPA Mallorca - Osasuna 1X 23:15 10/02 POR...
  6. Kijiweni

    Mkeka Wa Leo Jumapili 09/02/2025 Mechi Za Kufunga Wikiendi Na Magoli Pekee

    Time Matches Tips 14:30 09/02/2025 ITA Venezia AS Roma Over 1.5 16:30 09/02/2025 NED Waalwijk NAC Breda Over 1.5 16:30 09/02/2025 NED Sittard Ajax Over 1.5 17:00 09/02/2025 ITA Lazio Monza Over 1.5 17:00 09/02/2025 FRA Lyon Reims Over 1.5 17:00 09/02/2025 ITA Cagliari Parma Over 1.5...
  7. Kijiweni

    Mapya Yaibuka ‘Uraia Wa Mchongo’ Wachezaji Wa Singida Black Stars

    Hatimaye sakata la wachezaji watatu nyota wa timu ya Singida Black Stars (SBS) kupewa uraia wa Tanzania, limetinga kortini. Wakili Peter Madeleka amefungua kesi ya kikatiba akidai utoaji huo wa uraia ulikiuka Katiba ya Tanzania. Kesi hiyo ya kikatiba imesajiliwa Mahakama Kuu Masjala ya Dodoma...
  8. Kijiweni

    Mkeka Wa Leo Ijumaa 07/02/2025 Mechi 6 Ligi Kubwa Ulaya Na Afrika

    Date Matches Tip Results 20:00 07/02 EGY Zamalek - El Ismaily 1 20:00 07/02 CYP Omonia 29th May - Omonia 2 21:00 07/02 FRA Nantes - Brest 1X 22:45 07/02 ENG 2 Mansfield - Northampton 1X 23:00 07/02 SPA Rayo Vallecano - Valladolid 1 23:00 07/02 FRA PSG - Monaco 1
  9. Kijiweni

    FULL TIME : Fountain Gate FC 1 Simba SC 1 | Umeuonaje Mchezo Wa Leo Mwana Kijiweni?

    Mchezo wa ligi kuu ya NBC kati ya Fountain Gate FC kutokea Manyara dhidi ya Simba umemalizika salama katika uwanja wa Tanzanite Kwaraa kwa sare ya bao 1 kwa 1 Umeuonaje Mchezo Wa Leo Mwana Kijiweni?
  10. Kijiweni

    Nchi Ya Qatar Kuamua Hatma Ya Wapinzani Wa SIMBA Kombe La SHIRIKISHO La CAF

    Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) limetangaza tarehe ya droo ya robo fainali ya mashindano ya Klabu Bingwa na Kombe la Shirikisho Afrika kwa timu zilizofuzu hatua hiyo msimu huu ambapo pia limepanga tukio hilo kufanyika Doha, Qatar Februari 20. Baada ya kumaliza katika nafasi ya kwanza...
  11. Kijiweni

    Mkeka Wa Leo Alhamis 06/02/2025 Mechi 8 Zenye Option Tofauti tofauti

    Date Matches Tip 16:00 06/02 TUR CUP Boluspor - Galatasaray 2 19:00 06/02 UAE Ittihad Kalba - Al Sharjah 2 20:45 06/02 TUR Goztepe - Gaziantep 1 21:30 06/02 SPA CUP Real Sociedad - Osasuna 1X 22:30 06/02 SWI Basel - Luzern 1 22:30 06/02 SWI Winterthur - Zurich X2 23:02 06/02...
  12. Kijiweni

    FULLTIME: Yanga SC 6 KenGold FC 1 | Umeuonaje Mchezo Wa Leo Mwana Kijiweni?

    Mchezo wa Ligi Kuu ya NBC kati ya Yanga SC dhidi ya KenGold umemalizika katika uwanja wa KMC Kwa WANANCHI kuondoka na ushindi wa Mabao 6 Kwa 1 WAFUNGAJI : ⚽ ⚽Dube ⚽ ⚽Mzize ⚽ Pacome ⚽ Duke Umeuonaje Mchezo Wa Leo Mwana Kijiweni?
  13. Kijiweni

    Mkeka Wa Leo Jumatano 05/02/2025 Mechi Za Magoli Ya Over 1.5 Pekee

    05/02 Italy - Coppa Italia Primavera Fiorentina U20 - Cagliari U20 Over 1.5 16:00 05/02 England - Development League Wigan Athletic U21 - Crewe Alexandra U21 Over 1.5 20:30 05/02 Turkiye - Cup Fenerbahce - Erzurumspor FK Over 1.5 20:45 05/02 Netherlands - KNVB Beker PSV...
  14. Kijiweni

    Umeipokeaje Taarifa Hii Ya Singida Black Stars Kuhusu Kocha Wao? Una Kipi Cha Kusema Mwana Kijiweni?

    Klabu ya Singida Black Stars imesema imepokea kwa mshituko na masikitiko makubwa taarifa ya kocha wao Hamdi Milaoud kutambulishwa na Klabu ya Yanga bila kufuata utaratibu, hivyo uongozi unalifuatilia jambo hilo.
  15. Kijiweni

    Ramovic Kusepa Yanga | Mwananchi Wa Kijiweni Umeipokeaje Taarifa Hii?

    Inaelezwa kuwa Kocha Mkuu wa Yanga Saed Ramovic katika Mazoezi ya jioni ya leo kuelekea Mchezo dhidi ya KenGold ametumia muda huo kuwaaga Wachezaji na benchi lake la ufundi kuwa baada ya Mchezo huo ataondoka rasmi Klabu hapo.
  16. Kijiweni

    Kauli Ya Kocha Wa Yanga Kuelekea Mchezo Wa Ligi Kuu Yanga vs KenGold | Tabiri Matokeo Ya Mchezo Huu Hapa

    Kuelekea mchezo wa Ligi Kuu ya NBC kati ya Yanga dhidi ya KenGold kutoka Chunya jijini Mbeya , Kocha Mkuu wa klabu ya Yanga Saed Ramovic amezungumza na waandishi wa habari na kusema haya yafuatayo "Kesho tutakabiliana na timu ambayo imepata wachezaji wapya wengi. Pia Kocha wao ana mtindo wake...
  17. Kijiweni

    Mkeka Wa Leo Jumatatu 03/02/2025 Mechi 8 Za Kibingwa

    Date Matches Tip 21:00 03/02 CYP Anorthosis - APOEL AWEH 22:00 03/02 NED Jong Utrecht - Jong Ajax BTTS 22:00 03/02 NED 2 De Graafschap - Den Haag 1X 22:45 03/02 ITA Cagliari - Lazio X2 22:45 03/02 POR Rio Ave - FC Porto 2 23:00 03/02 SPA Levante - Racing Club Ferrol 1 23:00...
  18. Kijiweni

    FT : Tabora United 0 Simba SC 3 | Umeuonaje Mchezo Wa Leo Mwana Kijiweni?

    Nyuki wa Tabora wanakubali kichapo Cha bao 3 Kwa sifuri kutoka kwa wekundu wa Msimbazi mchezo ambao umechezwa katika uwanja wa Ally Hassan Mwinyi mkoani Tabora WAFUNGAJI: ⚽ ⚽Ateba ⚽ Kapombe
  19. Kijiweni

    Mkeka Wa Leo Jumapili 02/02/2025 Mechi 6 Kubwa Za Kufunga Wikiendi

    Date Matches Tip 14:30 02/02 ITA Juventus - Empoli 1 16:30 02/02 SPA Barcelona - Alaves 1 17:00 02/02 EPL Manchester Utd - Crystal PalaceCrystal 1X 19:30 02/02 GER Bayer Leverkusen - Hoffenheim 1 19:30 02/02 EPL Arsenal - Manchester City BTTS 22:00 02/02 NED Willem II - AZ...
  20. Kijiweni

    FT : Yanga SC 4 Kagera Sugar 0 | Umeuonaje Mchezo Wa Leo Mwana Kijiweni?

    Mchezo wa Ligi Kuu ya NBC kati ya Yanga SC dhidi ya Kagera Sugar umemalizika kwa Wananchi 🔰 kuondoka na alama 3 pamoja na Magoli 4 . WAFUNGAJI ⚽ Mzize ⚽ Mudathir ⚽ Pacome ⚽ Musonda Umeuonaje Mchezo Wa Leo Mwana Kijiweni?