Mambo vipi mwana Kijiweni... Achana na soka kwanza 😂 tunajua matokeo yake
Umesoma Riwaya Ngapi hapa KIJIWENI? Sasa tuambie Kwa jinsi ulivyoona hii picha Hiki ni kitabu Gani?
Sasa Admin nataka kukupa Zawadi ya kitabu wewe niambie jina lake tu nikupe Zawadi ya kitabu
NB: Wa Kwanza Kuweka Jibu...