Yanga kwa mara ya kwanza msimu huu, inashuka uwanjani katika Ligi Kuu bila ya mabeki wawili wa kati, Dickson Job na Ibrahim Bacca, itakapoikabili Tabora United yenye kocha mpya aliyewahi kuwanoa mastaa wa DR Congo akiwamo Maxi Nzengeli, Ellie Mpanzu, huku timu hiyo ikitamba itatonesha kidonda.
...