Search results

  1. V

    Yanga Thread

    Yanga dozi nene, mastaa wapikwa upya. KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi amebadili programu yote ya mazoezi ya timu hiyo kuanzia asubuhi ya leo. Tofauti na awali ambako mastaa wa timu hiyo walikuwa wakipiga matizi mara moja tu kwa siku sasa wametangaziwa utaratibu mpya ambapo watalazimika...
  2. V

    Simba Sports Club Thread

    Kilichomkuta Chama Simba. CLATOUS Chama amerejea Simba lakini si kwa kiwango kile alichoondoka nacho kwenda RS Berkane, na anahitaji muda zaidi ili awe kwenye ubora wake huku Kocha Msaidizi wa Simba, Selemani Matola akiweka wazi sababu kuwa ni kiungo huyo kutopata muda mwingi wa kucheza kule...
  3. V

    Simba Sports Club Thread

    Simba wavunja ukimya mkataba wa GSM. SAKATA la Kampuni ya GSM kujiondoa katika udhamini mwenza wa Ligi Kuu Bara limechukua sura mpya baada ya klabu ya Simba ambayo inatajwa kuhusika kuweka msimamo huku wanasheria nchini wakieleza kwa maelezo ya GSM inaonyesha kuna udhaifu kwa upande wa...
  4. V

    Simba Sports Club Thread

    Mo Dewji: Kuwekeza Simba kwa Sasa ni Hasara. MWEKEZAJI katika Klabu ya Simba, Mohammed Dewji amesema kilicho mpeleka kambini leo ni mapenzi yake kwa Simba na amekutana na viongozi wachezaji kwa ajili ya kuwapa hamasa kuelekeachezo dhidi ya ASEC. Mo Dewji amesema wakati huu wapo katika kombe la...
  5. V

    Manchester United

    Mshambuliaji wa Manchester United Anthony Martial ambaye kwasasa anaitumikia Sevilla kwa mkopo amekiri kuwa alikataa ofa za vilabu vya Juventus pamoja na Fc Barcelona kwasababu alitaka nafasi ya kucheza mara kwa mara kama anavyotaka...
  6. V

    Premier League: Uzi maalumu wa matokeo, msimamo wa ligi, wafungaji n.k

    MATOKEO Man City 2-0 Brentford Norwich 1-1 Crystal Palace Tottenham 2-3 Southampton Aston Villa 3-3 Leeds Utd Mikeka vipi? =AZV5jZIIjYUlRF9t8D87z1RTcSNQep4pg7QqyjGAtzmDfs0UUX9uG7wzZWG9M8zpn7siqpx_hrcug6DOdXWUIor1LuMXaDrTvknn_Vqm0kdt7wOmfskJFwckLrygOIGCcvZ_x6FGrYayaGjqOPTeeyGn&__tn__=*bH-R']...
  7. V

    Ligi Kuu Thread

    HISIA ZANGU: Kutoka Bocande mpaka Mane, Tanzania ijipange. NILIWAHI kwenda Barcelona mara kadhaa. Nilikutana na watu warefu, weusi, wakiwa kando za fukwe nzuri za Barcelona. Ni Wamachinga. Wanauza viatu kwa machale. Kwa sababu hawalipi kodi basi mara nyingi wanakuwa katika purukushani na...
  8. V

    Ligi Kuu Thread

    MZEE WA UPUPU: Manungu wameenda sasa ni zamu ya saa nane mchana. Mwaka 1976, Bob Marley aliachia albamu yake ya Rasta Man Vibration iliyokuwa na nyimbo kadhaa ukiwemo WAR (Vita) ambao uliakisi hotuba ya Mfalme Haile Selassie I wa Ethiopia kwenye Umoja wa Mataifa mwaka 1963. Katika wimbo huo...
  9. V

    Simba Sports Club Thread

    Kwa utamu huu Bocco anabaki juu. BOCCO apewe ulinzi.” Ndivyo unavyoweza kuitafsiri kauli ya makocha na wachezaji baada ya nahodha wa Simba, John Bocco kushindwa kucheka na nyavu katika mechi 14 ambazo timu yake imecheza kwenye Ligi Kuu Bara. Kauli hiyo ya kutaka apewe ulinzi ni kutokana na...
  10. V

    Ligi Kuu Thread

    Dawa ya waamuzi ligi kuu hii hapa. WADAU wa soka nchini wamependekeza dawa ya makosa yanayojirudia ya uamuzi kwenye Ligi Kuu Bara hasa mechi zinazohusisha Simba, Yanga na Azam. Bao lililozua mjadala zaidi mpaka mitandaoni ni lile la Simba dhidi ya Mbeya Kwanza juzi, huku wengi wakidai lilikuwa...
  11. V

    Yanga Thread

    Bila Kupepesa Macho, Jerry Muro Awachana Manara na Bumbuli. KIMEUAMANA, hivyo ndivyo unavyoweza kusema! MKUU wa Wilaya ya Ikungi mkoani Singida, Jerry Muro amewataka wasemaji wa klabu ya Young Africans kusoma alama za nyakati na sio kukurupuka na kuzungumza na Waandishi wa Habari. Jerry Muro...
  12. V

    Yanga Thread

    Manara: Wachezaji Wameingia na Panadol Sita Sita. KLABU ya Yanga imedai kutotendewa haki na baadhi ya maamuzi yanayotolewa na waamuzi wa mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara pamoja na Bodi ya Ligi kwa ujumla kwani wamekuwa wakiegemea upande wa Klabu ya Simba pekee na si kwa vilabu vingine vya ligi...
  13. V

    Simba Sports Club Thread

    Simba Hatuna Mashabiki Lialia – Ahmed. Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Simba, Ahmed Ally klabu ya Simba kwa sasa haina washabiki lialia kwa sababu simba hawaliilii lakini wana mashabiki wa kufurahia, ‘lialia timu nyingine hizo zenye maisha magumu’. Akizungumzia GSM kujitoa...
  14. V

    Simba Sports Club Thread

    Ahmed Ally: GSM Amejitoa Sababu ya Simba. KLABU ya Simba imesema aliyekuwa mdhamini mwenza wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara (NBC Premier League), GSM wamejitoa katika udhamini huo kutokana na Simba kutokubaliana na matakwa ya mkataba huo walioingia na Bodi ya Ligi. Haya yamesemwa na Mkuu wa Idara...
  15. V

    KOMBE LA SHIRIKISHO LA AZAM SPORTS.

    AZAM FC YAPASHA KUIVAA BAGA FRIENDS JUMAMOSI. KIUNGO wa Azam FC akifanya mazoezi kujiandaa na mchezo wake wa Hatua ya 16 Bora Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu Azam Sports Federation Cup (ASFC) dhidi ya Baga Friends Jumamosi Uwanja wa Azam Complex, Chamazi nje kidogo ya Jiji...
  16. V

    Simba Sports Club Thread

    SIMBA NA ASEC JUMAPILI KIINGILIO 5,000. KIINGILIO cha chini katika mchezo wa mchezo wa kwanza Kundi D Kombe la Shirikisho Afrika baina ya wenyeji, Simba SC na ASEC Mimosas ya Ivory Coast Jumapili kuanzia Saa 10:00 jioni Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam ni Sh. 5,000 kwa mzunguko...
  17. V

    LIONEL MESSI

    Messi Atupia PSG Baada Ya Dakika 477. HATIMAYE staa wa Paris Saint Germain, Lionel Messi amefanikiwa kufunga bao lake la pili ndani ya Ligue 1 baada ya kupita dakika 477. Messi alifunga bao lake hilo la pili wakati PSG ikiibuka na ushindi wa mabao 5-1 dhidi ya Lille, juzi Jumapili timu yake...
  18. V

    Yanga Thread

    Kabwili Yupo Zake Tabata FC. BAADA ya kutoonekana ndani ya kikosi cha Yanga kwa muda mrefu, golikipa Ramadhan Kabwili, ameonekana akicheza fainali ya Kombe la Ng’ombe akiwa na Tabata FC. Kabwili ambaye aliondoka kambini tangu Yanga ilipokuwa ikijiandaa na mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya...
  19. V

    Simba Sports Club Thread

    Pablo: Sasa Ubingwa Upo Wazi. KOCHA Mkuu wa Simba, Pablo Franco raia wa Hispania, amefunguka kuwa anaamini ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu hauna mwenyewe, licha ya wapinzani wao Yanga kuongoza ligi kwa tofauti ya pointi tano. Pablo ametoa kauli hiyo baada ya juzi Jumapili Simba kufanikiwa...
  20. V

    Yanga Thread

    Mkutano na Wanahabari. #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko