Beki Avuruga Mipango Yanga.
KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi, ameweka wazi kuwa, kukosekana kwa baadhi ya wachezaji wake muhimu wa kikosi cha kwanza akiwemo beki Mkongomani, Djuma Shabani, ni miongoni mwa vitu vinavyowapa changamoto kubwa ya kutimiza malengo yao.
Djuma anaendelea kukosekana...