Search results

  1. V

    Yanga Thread

    Yanga Yawaandalia Mikataba Minono Mwamnyeto,Yacouba. UONGOZI wa Yanga, umezima tetesi za kuondoka baadhi ya wachezaji ambao mikataba yao inatarajiwa kumalizika mwishoni mwa msimu huu na kuweka mazingira ya kuwapa mikataba mirefu. Chanzo cha ndani kutoka Yanga kimelitonya Championi Jumamosi...
  2. V

    Azam Sports Club

    Dube: Nimerudi Kuwafungia Mabao Azam FC. BAADA ya kupitia kipindi kigumu cha kuandamwa na majeraha, hatimaye straika wa Azam FC, Prince Dube, amesema kuwa kwa sasa yupo fiti, anataka kupambana na kuifungia mabao mengi timu yake. Dube amesema msimu uliopita alipishana na kiatu cha ufungaji bora...
  3. V

    AFCON Thread

    Kushere Ubingwa wa AFCON, Rais wa Senegal Atangaza Mapumziko ya Kitaifa. Rais wa Senegal, Macky Sall ametangaza kuwa leo Jumatatu Februari 7, 2022 ni mapumziko kitaifa ili watu washerehekee ushindi wa timu ya taifa ya Senegal baada ya kutwaa Kombe la Mataifa ya Afrika AFCON 2021. Rais huyo...
  4. V

    AFCON Thread

    π—–π—›π—”π— π—£π—œπ—’π—‘π—¦ 𝗒𝗙 𝗔𝗙π—₯π—œπ—–π—”
  5. V

    AFCON Thread

    SENEGAL BINGWA AFCON, YAIPIGA MISRI KWA MATUTA. TIMU ya taifa ya Senegal imefanikiwa kutwaa ubingwa wa Kombe la Mataifa ya Afrika kwa mara ya kwanza katika historia yake baada ya ushindi wa penalti 4-2 kufuatia sare ya bila kufungana na Misri ndani ya dakika 120 usiku huu Uwanja wa Paul Biya...
  6. V

    AFCON Thread

    CEO wa klabu ya Simba SC, Barbara Gonzalez pamoja na Rais wa As Vital Club Bestine Kazadi siku ya jana walihudhuria mchezo wa kutafuta mshindi wa tatu wa AFCON2021 kati ya Burkina Faso dhidi ya Cameroon Hii leo wanatarajia kuhudhuria mchezo wa fainali kati ya Senegal dhidi ya Egypt...
  7. V

    Mechi za Leo

    Ratiba ya mechi za leo za Ligi Kuu ya NBC 16:00 Geita Gold Fc vs. Polisi Tanzania 16:00 Namungo Fc vs. Mtibwa Sugar 19:00 Simba Sc vs. Mbeya Kwanza Fc
  8. V

    USAJILI.

    Kocha wa Fc Barcelona Xavi Hernandez ameiomba klabu hiyo imsajili mlinzi wa kati wa Sevilla Jules KoundΓ© ifikapo mwishoni mwa msimu huu Kwa mujibu wa SPORT, Fc Barcelona wanataka kumsajili mshambuliaji hatari wa kati pamoja na kuboresha eneo la ulinzi mara baada ya kumalizika kwa msimu huu...
  9. V

    Simba Sports Club Thread

    Kocha Prisons: Penalti ya Simba ni halali. SHABAN Kazumba, Kocha Msaidizi wa Tanzania Prisons, amesema kuwa bao la penalti ambayo walipata Simba juzi ni halali kwa kuwa ilitolewa na mwamuzi kutokana na makosa ambayo walifanya. Bao hilo lilifungwa na Meddie Kagere na lilionekana kuwa na utata...
  10. V

    Yanga Thread

    Beki Avuruga Mipango Yanga. KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi, ameweka wazi kuwa, kukosekana kwa baadhi ya wachezaji wake muhimu wa kikosi cha kwanza akiwemo beki Mkongomani, Djuma Shabani, ni miongoni mwa vitu vinavyowapa changamoto kubwa ya kutimiza malengo yao. Djuma anaendelea kukosekana...
  11. V

    Yanga Thread

    Nabi Amchomoa Kaseke Yanga. BAADHI ya mastaa wa Yanga ambao mikataba yao inamalizika mwishoni mwa msimu huu ni pamoja na Deus Kaseke ambapo inatajwa kuwa uongozi wa klabu hiyo hauna mpango wa kumuongezea mkataba kutokana na kushindwa kuonesha makali yake chini ya Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi...
  12. V

    Simba Sports Club Thread

    Pablo: Nitawashangaza Msimu Huu. KOCHA Mkuu wa Simba SC, Pablo Franco, amesema atawashangaza wengi msimu huu kwani wana imani ya kutwaa makombe yote ambayo wanayatetea licha ya kuwa katika mwendo wa kusuasua ndani ya Ligi Kuu Bara. Simba inatetea taji la ligi na kwenye msimamo ipo nafasi ya...
  13. V

    Yanga Thread

    Nkane Abakiza Siku 14 tu Kukiwasha Yanga. HABARI nzuri kwa Wanayanga ni kuwa baada ya siku 14 tu watapata kuona maufundi ya kiungo wao mshambuliaji, Denis Nkane ambaye alikuwa nje kwa sababu ya majeraha. Kiungo huyo kwa muda hakuwa dimbani baada ya kupata majeraha ya kinena kwenye Kombe la...
  14. V

    Simba Sports Club Thread

    Gadiel Michael: Sina Wasiwasi na Kukaa Benchi. LICHA ya kushindwa kupata nafasi ya kuanza katika kikosi cha kwanza cha Simba, beki wa kushoto wa timu hiyo, Gadiel Michael, amesema kuwa hana presha kwani itafika wakati wake wa kucheza. Gadiel amekuwa akishindwa kupata nafasi ya kuanza mara kwa...
  15. V

    AFCON Thread

    Vincent Aboubakar ndiye mchezaji wa kwanza kufikisha magoli 8 katika kampeni moja wa AFCON ndani ya miaka 48! (Ndaye Mulamba, mabao 9 mwaka 1974).
  16. V

    AFCON Thread

    MSHINDI WA TATU Burkina Faso 3-3 Cameroon Penati [3-5] Yago Onana (OG) Sufian Stephane Abubakar Abubakar Wanasema It's not Over Until It's Over, Cameroon kutoka 3-0 hadi 3-3 na kushinda katika mikwaju ya penati...
  17. V

    Ligi Kuu Thread

    YANGA SC YAPUNGUZWA KASI, 0-0 NA MBEYA CITY DAR. WENYEJI, Yanga SC wamelazimishwa sare ya bila kufungana na Mbeya City katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara usiku wa jana Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam. Sare inayoiongezea alama moja kila timu, inaifanya Yanga ifikishe pointi...
  18. V

    Azam Sports Club

    ISMAIL AZIZ AONGEZA MWAKA MMOJA AZAM FC. MTENDAJI Mkuu wa Azam FC, Abdulkarim Amin β€˜Popat’ (kushoto) akisaini mkataba na kiungo, Ismail Aziz Kader (kulia) leo Jijini Dar es Salaam. Kader alijiunga na Azam msimu wa 2020/21 kwa mkataba wa miaka miwili ambao unaisha mwishoni mwa msimu huu na kwa...
  19. V

    Manchester United

    Golikipa wa Manchester United David De Gea ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa mwezi Januari wa Ligi Kuu ya EPL Hii ni mara ya kwanza kwa Golikipa kushinda tuzo hiyo tangu mwaka 2016...
  20. V

    Yanga Thread

    Tuisila Kisinda Atuma Salamu Yanga. ALIYEKUWA winga wa Yanga, Tuisila Kisinda, amefunguka kufurahishwa na klabu yake ya zamani kuongoza ligi kwa alama nyingi dhidi ya Simba huku akiweka wazi kuwa matamanio yake ni kuiona Yanga ikitwaa ubingwa msimu huu. Kisinda ambaye amedumu kwa msimu mmoja...