Hawa wazee wakae pembeni wakae kwa kutulia kabisaaaa... Waliongoza yanga kipind hicho yanga ikawa omba omba hakuna mwelekeo timu ikawa hohehahe kama kaptula la jalalani. Hivi wakiachiwa uongozi hao wazee wanaweza sajili wachezaji? Hivi wanaeeza fanya competition ya team branding kama anavyofanya...