Mimi sijafurahishwa kabisa kwasababu watu wa manyara wamejipanga kuna watu manyara waliona fursa imekuja nyumbani alaf sababu yakufanya hii michuano mechi za nusu na fainali kuzuepeleka mikoani niili kuongeza chachu katika hiyo mikoa isiyokua na timu ligii zipambane ili wawe na timuligi kuu