Sawa dogo ana hela za kutosha kula hata asipofanya kazi, lakini je ametafakari mustakabali wa kipaji chake......anyway tuendelee kunywa mtori nyama tutazikuta chini
Kelele si ndio sehemu ya burudani au mi ndio sielewi, haya majamaa yanazizuia kwa sababu tu zimebuniwa Afrika, wangebuni wao wala usingesikia huo upuuzi