acha fitna na uongo timu ni nzuri sana,. inamabeki wazuri sana, timu ina wiki nne tu kwenye pre season na imekutana na mechi ngumu kama ya yanga hivi ww ulitaka iweje wachezaji wooote wageni. 14 kocha mgeni acheni ujuaji. wenu bwana,. kocha na wachezaji wote wa simba wanatakiwa kupewa muda...