Mutale ndiye kanivutia zaidi na
klabu km itacheza kwa ushirikiano wa namna hii ktk ukabaji tutafanya vizur
Pia ushauri kwa kocha fadlu:aendelee kuwasoma wachezaj wake vzr katika mikimbio yao ili aweze kupata first 11 iliyo bora...haswa walioingia kipind Cha pili dkk za mwanzo ndo bora zaid