Hii itakuwa sawa endapo TFF watakubali kuwalipia Gharama za kuja nchin na kuondka pamoja na malazi, Kwa WACHEZAJI ambao huondoka kweny clubs zao either kwa kwenda ligi za Africa au hata Ulaya...na wapo kweny tuzo hizo.. Pili hilo Swala linachelewesha Profile ya mchezaj kukua πππ