Nawashangaa mashabiki wanaosema yanga kacheza chini ya kiwango🙄,mtu anayejua hawezi kuibeza yanga kwa mchezo kama ule,kwanza ulikuwa ni mchezo wa entertainment tu,half mnashindwa kumheshim Gamond hapo,ndo alifanya rotation ya kikos vyote viwili kwa nyakat zote mbili.sasa ukitaka kujua yanga...