Search results

  1. berwin

    Mmepokeaje Taarifa Hii Ya TFF? Wako Sawa?

    Nyie wapuuzi TFF msitusumbue Kwa mujibu wa kanuni namba 11(11) ya kanuni za ligi kuu toleo la 2023 inasema kuwa tuzo zitatolewa ndani ya siku zisizoidi 3 baada ya fainali ya kombe la shirikisho, kwahy mnavunja kanuni mkifikir ss ni wajinga hatuelewi, tunawaambia hvi hili halikubaliki.😓😓😓😓😡😡😡😡😡😡
  2. berwin

    Mmepokeaje Taarifa Hii Ya TFF? Wako Sawa?

    Nyie wapuuzi TFF msitusumbue Kwa mujibu wa kanuni namba 11(11) ya kanuni za ligi kuu toleo la 2023 inasema kuwa tuzo zitatolewa ndani ya siku zisizoidi 3 baada ya fainali ya kombe la shirikisho, kwahy mnavunja kanuni mkifikir ss ni wajinga hatuelewi, tunawaambia hvi hili halikubaliki.😓😓😓😓😡😡😡😡😡😡