Nyie wapuuzi TFF msitusumbue Kwa mujibu wa kanuni namba 11(11) ya kanuni za ligi kuu toleo la 2023 inasema kuwa tuzo zitatolewa ndani ya siku zisizoidi 3 baada ya fainali ya kombe la shirikisho, kwahy mnavunja kanuni mkifikir ss ni wajinga hatuelewi, tunawaambia hvi hili halikubaliki.😓😓😓😓😡😡😡😡😡😡