The issue is clear kuwa sindano inapotakiwa kukutibu inauma, kama kweli wamekiuka katiba hawana budi kuachia ngazi Kisha wafanye kile katiba inataka, uongozi wa yanga ukiacha na ujenzi wa timu imara na yenye ubora kiwanjani ila Kuna mambo yaweza kuwa yamefichwa na matokeo hayo imagine migogoro...