Huyo hawezi kuchezea timu kubwa km Simba , Yanga au Azam kwa sababu uwezo alio nao hawezi kuwa mchezaji huru kiwanjani tofauti na anspochezea timu km kmc na zinginezo nafikiri watu wa mpira watajua Nini na maanisha na ndiyo maana hata akina Nkane uliwaona walivyopoteana pale yanga