Kutokua na kiwanja sio ishu vipo vilabu vikubwa na vikongwe dunian achana na afrika Zinacheza ligi kubwa na bora baran ulaya na hazijawah kumilik uwanja mpira(AC MILAN & INTER MILAN),Kila timu inawndeshwa kwa malengo sio kwa sababu fans wanasema au mtu kasema..