Hakika nawaambia.. tunadharaulika wanasimba kwa kauli za wanayanga za furahia kilele cha mafanikio yao misimu mitatu iliyopita, lakini mimi nawaambia, msimu huu tuna kikosi bora kama kile cha kina kagere, chama, miquissone na akina bwalya 2018. Just a matter of time.