Search results

  1. T

    Kipi Kinakwamisha Simba Na Yanga Kutokua Na Uwanja Kama Huu?

    Kumbukeni kmc ni team ya manispaa lakin simba na yanga ni timu za wananchi na kitu kingine viongozi wanaozimiliki hizi team muda wowote wanawaachia ngazi wengine ndomana hate mo katebgeneza uwanja lakini kauita mo arena kwan hakuuita simba arena anajua yakwamba muda wowote anaweza kuiacha simba