Search results

  1. @

    Tukiacha Unazi tuwe wakweli, je ni nani anayechezea Brand ya Simba hivi sasa bila makubaliano ya kimkataba yenye uwazi na yanayoeleweka?

    pengine wote viongozi wa simba wamekaa kiupigaji tuu,kama zile bil 5 ndo walituletea Fredy,Jobe kwa Fredy sawa ila kwa jobe bado na tulipo sasa ivi ni hatari kwani shirikisho ya club bingwa wapo vigogo wote