FEITOTO Njoo Simba huko Azam utachelewa sana
KIUNGO mshambuliaji wa Azam FC, Feisal Salum Feitoto amesema haoni shida yoyote kujiunga na klabu ya Simba SC kama itamhitaji, ila inachotakiwa ni kufuata taratibu zote za uhamisho, kwani bado ana mkataba.
Feitoto ambaye kipindi hiki cha usajili...