First a half ball imechezwa vzr ila kasumba inayo endelea kutuumiza mara zote ni ya wachezaji kucheza cheza bila kuweka malengo,
Mf.Congo kipindi cha1 wameweka malengo ya kulinda goli lao kwa dkk zote, kipindi cha pili wamekuja kivingine huku wakiwa wamewasoma wapinzani