Actually ameongea maneno mazuri kuhusu umoja na kushikamana kuepuka fitina na mizengwe ambayo ndio chanzo cha mgawanyiko....nadhani mchakato wa mabadiliko umechelewa Sana sijui kwanini wakati simba imeanza muda mrefu kuhusu hii transformation ya club shida nini haikamiliki mpk muda huu?!