Search results

  1. Balyx_

    ALVAREZ NI BORA KULIKO HALLAND

    Kuna mipira jana against Chelshit ulkua unaona kabisa kwamba hii Alvarez ingekuwa rahisi kuimaliza na kuamua game mapema sana. Guardiola afanye maamuzi magumu. Piga bench Halland Alvarez apate nafasi
  2. Balyx_

    MANURA ATISHIA KUVUNJA MKATABA

    Simba wanadaiwa signing fee na Manura, ni kama wamegoma kumlipa hivi na mwana anataka avunje mkataba asepe zake Azam
  3. Balyx_

    2023, ARSENAL ASHUKE

    Team za PL inatakiwa ziungane kumshusha Arsenal, otherwise watatutesa sana kwakweli.
  4. Balyx_

    HAPPY NEW YEAR

    Wanangu wa Kijiweni nawatakia Heri ya Mwaka mpya wa 2023. Tuendelee kupeana moja na mbili za Soka. 2023 is for AZAM FOOTBALL CLUB
  5. Balyx_

    AHMADA ATAWASHAGAZA

    Kuna tetesi kwamba Azam Fc anamtaka Kakolanya, ndio zipo ila bado akija atakuwa sub ya Ahmada sababu nyanda huyo bado ana mengi ya kuprove kwenyr Ligi hii Changa ambayo haina changamoto tofauti na bahasha
  6. Balyx_

    RINALDO NI DHAIFU

    Ronaldo kwenda kucheza Saudi ni ishara ya Uoga na Wivu mkubwa dhidi ya Mkubwa wake Messi, Robaldo aliwahi mdhihaki Xavi kipindi yupo Qatar akasema Amefata pesa na kamwe hatokaa afanye hivyo, je yeye amefata mafuta?
  7. Balyx_

    NI NANI PELE WA LIGI KUU YA BONGO?

    Kwangu nadiriki kusema kwamba Mrisho Ngassa “Uncle” ndo Pelé wa Bongo, hao akina Kompyuta sijui Kibadeni sawa walikuwa wanoma ila hawakufika level za Uncle especially akiwa pale Azam Fc
  8. Balyx_

    ENZO FRRNANDEZ NDO REPLACEMENT YA KANTE

    Kwa hapa Chelsea wamelamba Dume na kama kawaida yetu sisi Barcelona tunamchukua Kante 🥹. Inaumiza
  9. Balyx_

    KONDE BOY ANATUA AZAM FC

    Kuna kelele nyingi mitandaoni kuhusu Konde boy kurudo Simba na wengine wakisema anaenda Yanga, ila ukweli ni kwamba konde anavaa jersey ya Azam Fc
  10. Balyx_

    HALLAND NI JINI

    Kwangu Halland ni Jini kuliko Mbappe ila advantags aliyonayo Mbappe ni team yake ya Taifa kuwa na nguvu kuliko Halland. Kama Norway wangekuwa wanafuzu hata kwenye Euro, WC na Nations League. Tungezungumza mengine zaidi na zaidi. HALLAND NI JINI
  11. Balyx_

    KIPARA LEO ANACHACHUKA

    Ni ngumu sana Team zote za Manchester kushinda katikati ya wiki. Namuona Kipara leo akiweweseka mbele ya Leeds kabisa
  12. Balyx_

    AKAMINKO NI $400k na KIPRE Jr ni $400k

    Yanga wanataka kuzima Kick ya Feisal na wakapita nyuma wakatuma maombi ya kutaka huduma ya James na Kipre Jr Azam wamejibu maombi yao na kutaka $400k kwa kila kinda wao Yanga hawajaamini😂
  13. Balyx_

    KWANGU YACOUBA NI BORA ZAIDI YA MAYELE

    Yacouba naamini ana uwezo mkubwa zaidi ya Mayele hivyo hakustahili kubaki Yanga na kuwa kivuli cha Mayele. Aende hata Azam auchape na awe mshindani wa Mayele
  14. Balyx_

    Correct Score

    Aston villa 0-3 Liverpool Brighton 2-2 Southampton Arsenal 2-1 Westham
  15. Balyx_

    AZIZ KI NI SPECIAL

    Kwa jana alivyokuwa anacheza inaonesha kabisa Yanga hawana haja na Fei Toto. Wamuache tu acheze huko Azam, Aziz anatosha
  16. Balyx_

    AZAM KWENYE GOAL KEEPING POSITION IMEKUA UGONJWA WA KUDUMU.

    Kuna namna inabidi Azam wafanye scouting ya maana ya Golie otherwise huu ugonjwa utazidi kumtesa sana Ali Ahmada sio level za team kama Azam Fc. Over
  17. Balyx_

    FEISAL AMEWATUMA AZAM KUWADHUGHULIKIA YANGA

    Leo itapigwa mbungi moja nzito sana, tactically, emotionally na physically Azam are the favorites kwenye hii game. Siwaoni Yanga wakipona hii mbungi kwakweli
  18. Balyx_

    PESA KWANZA

    Feisal Salum amechagua pesa kuliko Sifa za kijinga. Mtu mpaka anadaiwa hadi kodi ya nyumba kweli??? Feisal amechagua njia sahihi kabisa
  19. Balyx_

    FEISAL AONDOKE PALE YANGA

    Ni muda sasa Feisal aweze kutambua uwezo na thamani yake, Dunia nzima inataka Fei Toto ajiunge na Azam Fc🙏😎
  20. Balyx_

    SIMBA ANAMUOMBEA YANGA USHINDI

    Kwa Mara ya kwanza SIMBA atakuwa anamuombea Yanga kwenye #DarDerby kitu ambacho kitafanya Azam apate nguvu za kupiga mapacha wote ndani ya game moja