Search results

  1. C

    FT : Simba SC 3 Tanzania Prisons 0 | Umeuonaje Mchezo Wa Leo Mwana Kijiweni?

    Mchezo ulikuwa mezuri sana. Haukuwa na presha kubwa baada ya goli la chasambi. Utopolo sahauni kuhusu chasambi. Nawapongeza Simba kwa ushindi wa Leo na kuongoza ligi.