KIINGILIO TAIFA STARS NA ALGERIA NI SH 3,000 KESHO DAR
KIINGILIO cha chini katika mchezo wa Kundi F kufuzu Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) mwakani nchini Ivory Coast baina ya wenyeji, Tanzania na Algeria ni Sh. 3,000.
Bei hiyo ni kwa majukwaa ya mzunguko, wakati kwa VIP A, B na C...