Search results

  1. K

    Usajili Wa Chama Kwenda Yanga -Yanga Hamueleweki, Sijui Mna Shida Gani!

    Usajili wa Chama kwa Yanga ni fursa kubwa sana kwa Simba maana hii itawapa Simba nafasi nzuri ya kufanya usajili mkubwa sana ili kuziba pengo la Chama na kuondoa fikra za kutegemea mchezaji mmoja kila msimu.
  2. K

    Shaffih Dauda vs Zaka Zakazi Nani Yuko Sahihi?

    Mimi naamin mabadiliko ya mpira yanakuja pale tu vilabu vyengine vinapopata nafasi ya kushiriki mashindano makubwa tofauti na yale mazoea ya kuwa kila siku kuna timu fulani ndio zinashiriki, hata Azam FC inaweza kupata ñafasi ya kuwa na mashabiki wengi kibiashara kama vile simba na yanga ikiwa...