Ni hao wachambuzi na waandishi ambao wamekosa taarifa na kuanza kutunga taarifa zao ilimradi tu wapate kujulikana na kuonesha kuwa wapo,,, bila kujua kuwa wanatufanya tuwaone akili hawana na tunazidi kuwadharau kwasababu hawafanyi kazi yao wanayotakiwa kufanya,,,nadhani wajifunze kupitia hili...