Camera za azam situmike kama VAR kwa kuwa magoli mengi yanaibiwa kwa visingizo vya offside na mpira kutokuvuka mstari .... Angali tunaona picha za marudio ya azam hamna offside na boli limevuka mstari..
Marefa wanao oneka kuto elewana na wachezaji uwanjani wapigwe sub kuokoa ugomvi wa aina...