Watu waliopo nae kwenye jambo hili, naona kama hawatoshi kwa mshkaji, ukiwa na watu sahihi hasa kwenye mambo kama haya, sio rahisi kuona upuuzi kama huu, jamaa pia ajitazame kwa namna nyingine kama mfanya biashara, game ya sasa inahitaji watu smart sana kuendea jambo kama hao watu hana...