Search results

  1. B

    Eti Wana Kijiweni Kwanini Ni Simba vs Yanga Na Sio Yanga vs Simba

    Sababu kuu NI wingi WA mashabiki Kwa Simba kuzoea kuanzia kutaja timu Yao coz ukisema SWALA ni mpangalio WA alfabet hebu chukulia yanga na Azam uanze kutaja Azam kama itasound gud au utaje Kagera na yanga haiwezekan lazma iwe yanga na Kagera so it's a matter of high number of fans
  2. B

    Mabadiliko gani ambayo Simba wanapaswa kuyafanya kwenye kikosi chao?

    Wafanye usajiri WA maana siyo sasa hvi porojo ya huyu anasajiriwa mara huyu mwisho WA SIKU syo hao tena wanaosajariliwa wanatuletea ilimradi wachezaji anyway sina mengi Sana admin.... NASUBLIA KWA HAMU FUNGATE IKIWEZEKANA WEKA YA NANE TISA NA KUMI KWA PAMOJA🔥🔥🔥🔥
  3. B

    Matampi Wa Coastal Union Ni Mbadala Sahihi Wa Lakred Simba?

    Viongozi WA Simba wavunje kibubu kumbakisha ayoub shida syo kuondoka hapa mpunga ukiongezeka sidhani kama atakubali ofa za wamorocco wenzake but kama kuna ulazima Sana kuondoka syo mbaya huyu WA costal unakitu pia kikubwa wafanye usajiri ngome ya ulinzi iwe imara zaidi kabla hajafkiwa gorikipa