Mpaka sasa ni timu ya ushindani tayari aliyeshinda 5 Zanzibar kaja kufungwa 4 hii iliyofungwa 4 ndio ilikuwa inawekewa matumaini makubwa kuwa ndio mpinzani wa karibu wa yanga kwa sasa ila hii iliyokatiwa tamaa imefungwa goli moja tu na wameonyesha mpila mzuri