Mbona hapo sijaona jipya ndo hayo hayo ya kila siku mi kwa ushauri wangu ningeomba ktk safu ya uongozi arudishwe Haji Sanday Manara kwa hakika Manara alikuwa na sifa flani ktk club ya SIMBA
Hakuna Tanzania Bara ni Tanganyika hii Tanzania Bara inatoka wapi?
Tanzania inatokana na Muungano wa Zanzibar na Tanganyika sasa hii Tanzania Bara asili yake inatoka wapi?