Wanasimba wanasifa sana na mashabiki wengi ni wale ambao hawajui swala nzim ya football ,mpk sasa naweza kusema kuwa simba fc bado wanajitafuta kikosi bado haijakaa sawa ,ukifuatilia mechi za simba zote tatu za kirafiki utaona bado hakuna muunganiko bora kwa wachezaj kuna mda wanapoteana...