Search results

  1. M

    Mabadiliko gani ambayo Simba wanapaswa kuyafanya kwenye kikosi chao?

    ili simba arudishe makali yake bas n dhahili aanzie katika uongoz kwasabab ndio msingi wa Kila kitu tumeona hat Kwa yanga uongozi bola na umefanya timu iwe imara kama viongozi wataongea lugha Moja basi kutakuwa na madiliko makubwa sana