Kuna wakati hawa YANGA walikuwa wanadaiwa na Mchezaji yani madai yamekuwa mengi, baadae ikatoka taarifa ya BMT kudai kuwa Yanga hawakulipa ada ya Uanachama ya mwaka, baadae ikatoka taarifa ya FIFA kuwafungia Yanga kisa madai, leo tena YANGA anadaiwa, sio afya kwa taasisi kama Yanga, haipendezi...