Hata hao viongozi wa Simba wanajua kila kitu kuhusu Kibu ila wanashindwa kuweka wazi kuhofia hasira za wanachama na mashabiki wao,,,,,haiwezekani mpaka mchezaji mpaka anasafiri ndio watoke mbele waongee na umma,,hzi ni propaganda tu.
Hakuna wa kukaa pale kaka coz tayari wameshaanda ulinzi kwa ajiri yao ndio maana unaona anatoka kujikosha kwa wanachama halafu baadae anarudi tena
Acha kujiumiza akili kaka,Siasa,biashara na maslahi binafsi ndio vinavyosababisha timu ifikie hapa,,wakisharidhika na kufaidika ndio wataaanza...
Inawezekana pia Simba wamemsajiri mchezaji kupitia wakala wake badala ya kufata taratibu,so wamemalizana na wakala wanajua wakala atamalizana na mchezaji pamoja na club.
Anafaa,ila kwa ukubwa wa timu inayomhitaji na malengo ya mashabiki dhidi ya timu yao kipindi hiki cha usajiri na matarajio waliyonayo,,,,hafai kwenda msimbazi coz timu IPO kwenye presha kubwa na presha hiyo itapelekea yeye asifanye vizu.ri