Search results

  1. Z

    Tukiacha Unazi tuwe wakweli, je ni nani anayechezea Brand ya Simba hivi sasa bila makubaliano ya kimkataba yenye uwazi na yanayoeleweka?

    Hakuna kiongozi anaeweza kukaa mezani na mo kumwambia ukweli mana viongozi ni wanafki wakikubaliana jambo kuna wanaozunguka wenzao nakwenda kwa mo kumwambia kinachoendelea hivo utajikuta unaonekana mbaya peke yako