Kwa mechi ya Leo DNB ni option kubwa Zaid kwasababu timu bado hazifahamiani na tusibebwe na ushabiki kuwa yanga anashinda kama wanavyo sema sijui 5+ au 3+ kumbuka simba ya sasa ni timu Mpya na tofaut hawajaonesha pre season yao kwahy bado Simba ya fadlu haijafahamika vizuri mfumo yake ila yanga...