Hatutaki baadae uje kutuletea makala ndefu kukisifia kikosi cha simba
Ni suala la mda
Maana timu ni mpya ni ndio kwanza ina wiki nne
Acheni ujuaji na ukweli usemwe
Naiona simba ikifika mbali sana pindi itakapopata mechi kadhaa za mashindano🦁
Katika matamasha mabovu kuwahi kutokea katika historia ya mpira hili ni mojawapo
Very Unprofessional
Sijui wanatuchukuliaje yaani
Mimi nakaa Chanika nafikaje nyumbani muda huu😔😟