Kuhusu striker Mimi naona tupo vizuri...shida IPO kwenye winga anaejua kuforce...mwanzoni tulikuwa na kibu ila kwa saivi amepungua kiwango kidogo..kwa upande wa balua namwenyewe bado hajakidhi vigezo vya winga wanavyotakiwa...ila Kuna kina awesu, karabaka nao Hawa pia bado sana..kwa upande wa...