Search results

  1. M

    Chama Anasajiliwa Yanga Kwa Ajili Ya Kuuza Jezi Na Kuongeza Tu Umaarufu Wa Brand Ya Yanga

    Hawa yanga wanamikakati mikubwa ya ndani kwanza kuliko nje bado sana so kwasasa wanataka kuhakikisha simba amabae ndo mpinzan wake mkuu anakua dhaif kupitia tetesi za usajili,kumfunga mtani, pamoja na kujibrand wawe namba moja east africa na Africa kwa ujumla mda wote ili malengo yao yatimie