Barcelona wanatafuta kumsajili Ilkay Gundogan kutoka Manchester City na kuachana na Frenkie de Jong kwa ada ya €80m ambaye analengwa na Man United na Chelsea. Je, hii itakuwa uamuzi sahihi kwa Barca?
Mohamed Salah anaweza kuondoka Liverpool na kujiunga na PSG. Je, Liverpool watakuwa na uwezo wa...