Manara hajarudishwa Yanga ila kajirudisha mwenyewe tu baada ya kutoka gerezani, jambo lingine analofanya ni kujitekenya mwenyewe na kucheka mwenyewe........
Hayupo tajiri wa ivo anaejua kabisa umefungiwa kwa utovu wa nidhamu halafu akuongeze mshahara, maana yake anatujulisha kuwa JIESIEMU...